BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, November 23, 2011

MACHAFUKO MENGINE CAIRO

Hali inaelekea kuwa mbaya zaidi mjini Cairo kutokana na jeshi kutumia nguvu zaidi kwa ajili ya kuwadhibiti waandamanaji wanaoshinikiza utawala wa kijeshi kuondoka madarakani,tayari mpaka sasa zaidi watu 30 wanahofiwa kupoteza maisha kwenye machafuko yanayoendelea jijini Cairo,na sasa machafuko hayo yamemeanza kwenye miji ya Alexandria,Suez,Port Said na Aswan


Mmoja wa majeruhi akipata huduma ya kwanza

Hili ni eneo la Tahrir jijini Cairo ambalo linaonekana kuwa na vurugu zaidi

No comments:

Post a Comment