BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, November 23, 2011

CHANGIA DAMU OKOA MAISHA


Damu ni tiba inayotokana na binadamu wenyewe kwa maana hiyo sisi ndio wenye jukumu la kuchangia damu kwa ajili ya kuokoa maisha ya watu wanaohitaji tiba hiyo na kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji tiba hiyo,kwa wale wale walioko Mbeya unaweza ukafika kwenye kituo cha damu salama kilichoko hospitali ya wazazi Meta,Mwanza damu salama Bugando,kwa wale walioko Dar es salaam na maeneo jirani mtafika kituo cha damu salama kilichoko Mchikichini,Moshi mkabala na hospitali KCMC,Mtwara kituo cha damu salama Mtwara na Tabora fika kwenye kituo cha damu salama Tabora-CHANGIA DAMU MARA KWA MARA ILI UOKOE MAISHA.

No comments:

Post a Comment