BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, November 17, 2011

UHABA WA MAJI WATISHIA USALAMA WA AFYA ZA WANANCHI MBALIZI.


Kufuatia uhaba wa maji uliyoukumba mji mdogo wa Mbalizi na vitongoji vyake,na kusababisha wakazi wa maeneo hayo kuchota maji na kufulia kwenye kwenye mifereji na mito,kunaweza kusababisha mlipuko wa magonjwa kutokana na mji huo kuwa na wakazi wengi na biashara nyingi.

No comments:

Post a Comment