BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, November 09, 2011

BONDIA JOE FRAZIER AFARIKI DUNIA


Aliyekuwa nguli wa mchezo wa masumbwi kwenye miaka ya 60 na 70,Frazier amefariki juzi baada ya kuugua kwa muda mrefu ugonjwa wa saratani ya ini.
Frazier alikuwa bondia wa kwanza kumpiga bingwa wa kipindi hicho Muhammad Ally katika mpambano uliochezwa DR Congo machi, 1971,amefariki akiwa na umri wa miaka 67,wapenzi wa mchezo huo wataendelea kumkumbuka kutokana na umahiri wake ulingoni na hasa kwa kumchapa bingwa aliyeshindikana Muhammad Ally.

No comments:

Post a Comment