BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, November 23, 2011

AJALI MBAYA YATOKEA UBUNGO RIVER SIDE


 Wananchi wakijaribu kuokoa maisha ya watu waliokuwa kwenye gari dogo lililoingia uvunguni mwa lori eneo la Ubungo river side mchana wa leo
Wananchi wakiangalia ajali ambayo imepoteza maisha ya watu watatu na mmoja akiwa hai ndani ya gari dogo,jitihada za kumtoa zinaendelea kufanyika


No comments:

Post a Comment