BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, November 11, 2011

Taifa Stars yaichapa Chad 2-1


Timu ya soka ya Tanzania leo imefanikiwa kupata ushindi ugenini kwa kuichapa timu ya taifa ya Chad mabao 2-1,mabao ya Taifa Stars yamefungwa na Mrisho Ngasa na Nurdin Bakar.

No comments:

Post a Comment