BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, November 15, 2011

LORI LANUSURIKA NA KUZIBA BARABARA.


Lori la mizigo aina ya Scania,jioni hii limenusurika kuanguka baada ya kuacha njia na kuingia kwenye mtaro ulioko kando ya barabara na kurudi tena barabarani na kuziba barabara kwa muda na kusababisha magari makubwa kushindwa kupita,ajali imetokea leo jioni eneo la Ntokela,barabara ya Uyole-Tukuyu,hakuna mtu aliyejeruhiwa kwenye ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment