BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, November 23, 2011

TUKUYU NI NEEMA TU

Wakina mama wa eneo la Kiwira wakiuza matunda ya aina mbalimbali kwa wageni na wenyeji wa wanaopita kwenye barabara ya Dar-Malawi.


Wakina mama wakisubiri wateja wa ndizi eneo la Kiwira

Eneo hili ndilo linlofanyiwa biashara eneo la Kiwira,licha kukaa kihatarihatari


Wakina mama wakiuza ndizi,maparachichi,mananasi nk.kwenye basi linalofanya safari kati ya Mbeya na Kyela


No comments:

Post a Comment