BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, November 23, 2011

PAPA BENEDICT XVI KUTEMBELEA BENIN


Kiongozi wa kanisa la katoliki duniani,Papa Benedict wa 16 anatarajia kutembelea nchi ya Benin wiki hii.
Hii ni ziara ya pili kwa Papa Benedict barani Africa tangu kuteuliwa kwake,na ni mara ya tatu kwa taifa la Benin kutembelewa na uongozi wa juu wa kanisa hilo,mwaka 1982 na 1993 walitembelewa na Papa John Paul II.
Msemaji wa Vatican amesema ziara hiyo ni ya kuleta amani na maridhiano barani Afrika.

No comments:

Post a Comment