BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, June 02, 2011

AJALI NYINGINE MBEYA


Basi la kampuni ya Abood jana lilianguka eneo la mlima nyoka na kujeruhi abiria 36,kwa bahati nzuri halikusababisha vifo kwa abiria wake,huu ni mfululizo wa ajali kutokea mkoani Mbeya,Ijumaa iliyopita basi la Sumry lilipata ajali na kupoteza maisha ya watu 13 na wengine kadhaa kujeruhiwa,Abood ilikuwa ikitokea Dar es salaam kuja Mbeya.

No comments:

Post a Comment