BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, June 18, 2011

CHILUBA AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa rais wa pili wa Zambia bw.Fredrick Titus Chiluba amefariki usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake,Chiluba ameiongoza Zambia toka 1991-2002 na hadi kifo chake akikuwa na tuhuma ya ubadhirifu wakati wa uongozi wake

No comments:

Post a Comment