BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, June 18, 2011

CYNTHIA KIMASHA AWA MISS VODACOM CHANG'OMBE

Cynthia Kimasha (katikati) amefanikiwa kutwaa taji la vodacom miss Chang'ombe,huku mshindi wa pili akiwa Husna Twallib (kushoto) na mshindi wa tatu ni Joyce Maweda,shindano hilo limefanyika kwenye viwanja vya Tcc Chang'ombe.
Hawa ndio walifanikiwa kuingia tano bora kwenye shindano hilo

No comments:

Post a Comment