BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, June 28, 2011

WAFANYABIASHARA SOKO LA UHINDINI MBEYA WAHAMIA ENEO JIPYA

Hili ni eneo la uwanja wa Sokoine Mbeya ambalo wafanyabiashara wa soko la uhindini wamehamia baada ya soko lao walilozoea kuungua moto mapema mwaka huu.
 Baadhi ya mafundi wakimalizia vyumba eneo la uwanja wa Sokoine Mbeya
 
Wauzaji matunda na mbogamboga kwenye soko hilo

No comments:

Post a Comment