BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, June 21, 2011

DAWA FEKI YA KUKUZA MAKALIO HII HAPA

Ofisa uhusiano wa mamlaka ya chakula na dawa (TFDA) Bi.G.Simwanza akionesha dawa feki ya kuongeza ukubwa wa makalio katika banda la TFDA kwenye maadhimisho ya utumishi wa umma ya umoja wa mataifa yanayoendelea kwenye viwanja vya mnazi mmoja

No comments:

Post a Comment