BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, June 05, 2011

TAIFA STARS YACHAPWA TENA,U-23 YAIFUNGA NIGERIA 1-0


Timu ya Taifa ya Tanzania leo imefungwa na timu ya taifa ya Africa ya kati bao 2-1 kwenye uliofanyika uwanja wa Complex Barthelemy Bonganda mjini Bangui huko Africa ya kati,kwenye mchezo mwingine timu ya vijana ya chini ya miaka 23 leo imefanikiwa kuwafunga wenzao wa Nigeria bao 1-0,Tanzania walipata bao dakika ya 84 likiwekwa kimiani na Thomas Ulimwengu kwenye uwanja Taifa jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment