BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, June 26, 2011

YANGA ULIMI NJE KWA EL-MEREIKH


Leo El-mereikh imewalazimisha mabingwa wa Tanzania bara timu ya Yanga sare ya bao 2-2 kwenye mchezo uliofanyika uwanja wa Taifa,El-mereikh waliweza kuwatawala Yanga kipindi cha pili kwa kucheza jinsi wanavyotaka na kufanikiwa kusawazisha bao la pili,Yanga kipindi waliingia cha pili safu ya kiungo ilikuwa imezidiwa na kuwapa nafasi El-mereikh kutawala mpira.

No comments:

Post a Comment