BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, June 26, 2011

KAGAME CUP YAANZA


Michuano ya kuwania ubingwa wa Afrika mashariki na kati imeanza kwa mechi za ufunguzi,zimepigwa mechi mbili,katika mechi ya kwanza timu ya Ocean view imeilaza timu ya Eticele ya Ruanda 3-2,huku Simba ikitoka 0-0 na vitalo ya Burundi,mechi hizo zitaendelea tena kwenye viwanja vya Jamhuri Morogoro na uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment