BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, June 28, 2011

BEI YA MAFUTA YAATHIRI WENGI


Picha inayoonekana ni mwili wa marehemu ukifungwa kwenye pikipiki tayari kwa safari ya kuelekea kijiji cha Isansa wilayani Mbozi kutoka wilaya Mbeya,inaonekana ni kitu cha ajabu lakini ndio halisi iliyotokea,inakadiriwa kuwa kufika kijijini kwao ni zaidi kilomita 90 kama wangetumia gari ingewagharimu kuliko uwezo wao,hii inaashiria wananchi wanavyoishi kwa taabu na kubuni njia mbadala za kutatua matatizo yao bila kujali athari zinazoweza kutokea.

No comments:

Post a Comment