BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, April 18, 2012

MARCIO MAXIMO AKUTANA NA MHESHIMIWA RAIS NCHINI BRAZIL

m

Aliyekuwa kocha mkuu wa Taifa stars mbrazil Marcio Maximo alikutana na mheshimiwa rais Jakaya Kikwete jijini Sao Paulo na kusalimiana naye,kabla ya kuongea na waandishi wa habari ambao walikuwa wakimuuliza kuhusu mpango wake wa kuja nchini tena kwa ajili ya kuifundisha Yanga au Azam lakini hata hivyo alikanusha uvumi huo.

No comments:

Post a Comment