BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, April 06, 2012

RAIS WA MALAWI BINGU WA MUTHARIKA AFARIKA DUNIA.


Rais wa Malawi BINGU WA MUTHARIKA amefariki dunia leo hii nchini alikopelekwa kwa ajili ya matibabu baada ya kupata mshituko wa moyo akiwa ofisini kwake hapo jana.
Rais Bingu wa Mutharika alizaliwa 24/02/1934 na alionyesha nia ya kuwa kiongozi toka mwanzoni mwa miaka ya 1990 na hatimaye ndoto yake ilitimia na kuwa rais wa nchi hiyo kupitia uchaguzi uliopita.
Habari hizi ni kwa hisani ya Nyasa Times.

No comments:

Post a Comment