BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, April 29, 2012

MLIPUKO WATOKEA KANISANI NAIROBI


Waumini wa kanisa la God's House of Miracle leo asubuhi wamekumbwa na dhahama baada ya mlipuko kutokea kanisani wakati wa ibada na kuuwa mtu mmoja na wengine zaidi ya saba kujeruhiwa.
Kanisa hilo lipo maeneo ya mtaa wa Ngara,jijini Nairobi,mlipuko huo unasadikiwa ni wa guruneti ambalo bado halijajulikana limetegwa na nani?

No comments:

Post a Comment