BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, April 04, 2012

TFF YAWASHIKA YANGA PABAYA


Yanga sasa inaonekana kuchanganyikiwa baada ya kupokwa ushindi dhidi ya Coastal Union baada ya kumchezesha beki wake Nadir Haroub 'Canavaro' ambaye alikuwa ana kadi nyekundu aliyopata baada ya vurugu kwenye mchezo dhidi ya Azam na kusababisha baadhi ya wachezaji wa Yanga kufungiwa kabla ya adhabu hizo kusimamishwa na Tibaigana.

No comments:

Post a Comment