BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, April 16, 2012

MWENYEKITI WA VIJANA CCM MKOA WA ARUSHA AHAMIA CHADEMA

Mwenyekiti wa vijana wa CCM mkoa wa Arusha ameamua kujitoa kwenye chama hicho na kujiunga na Chadema,hii ni ishara ambayo si nzuri kwa chama cha mapinduzi baada ya vijana wengi kuanza kujiingiza kwenye siasa na kujiunga na kambi ya upinzani.

No comments:

Post a Comment