BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, April 25, 2012

ZAO LA PARETO HATARINI KUTOWEKA


Zao la pareto ni miongoni mwa mazao ambayo wakulima wamekuwa wakiacha na kupunguza kuyalima,huenda ni kutokana na bei yake kuwa chini au soko kusumbua.
Kamera yetu ilipita maeneo ya wilaya ya Makete,kata ya Matamba na kuona zao hilo likiwa kwenye shamba la ekari moja ndani ya kijiji kizima huku kukiwa na mazao kama mahindi,ngano,maharage na alzeti kwa wingi.

No comments:

Post a Comment