BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, April 18, 2012

SIMBA BINGWA KWA 92%


Timu ya Simba ya Dar es salaam leo imejiwekea mazingira mazuri ya kutwaa ubingwa wa Tanzania bara baada ya kuwafunga JKT ruvu jumla ya mabao 3-0 kwenye uwanja wa Taifa.
Mabingwa watetezi timu ya Yanga imepoteza dira baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Kagera Sugar,tunaweza kusema Yanga imevuliwa ubingwa kwani hata wakishinda mechi zao zilizobaki watafikisha pointi 52 ambazo Simba wameshavuka kwa sasa wana pointi 56 ambazo Yanga hawawezi kuzifikia.

No comments:

Post a Comment