KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Thursday, April 05, 2012
MHESHIMIWA LEMA AVULIWA UBUNGE ARUSHA MJINI NA MAHAKAMA
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amevuliwa ubunge wa jimbo la Arusha mjini baada kushindwa kesi iliyokuwa inamkabili toka alipotangazwa kuwa mbunge wa jimbo hilo. Kesi hiyo ilikuwa ni ya kupinga matokeo ambayo ilifunguliwa na wapinzani wake kwenye uchaguzi uliofanyika mwaka 2010.
No comments:
Post a Comment