BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, April 05, 2012

MHESHIMIWA LEMA AVULIWA UBUNGE ARUSHA MJINI NA MAHAKAMA

Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amevuliwa ubunge wa jimbo la Arusha mjini baada kushindwa kesi iliyokuwa inamkabili toka alipotangazwa kuwa mbunge wa jimbo hilo.
  Kesi hiyo ilikuwa ni ya kupinga matokeo ambayo ilifunguliwa na wapinzani wake kwenye uchaguzi uliofanyika mwaka 2010.

No comments:

Post a Comment