BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, December 18, 2011

Mh.DAVID KAFULILA AFUKUZWA NCCR-MAGEUZI


Mbunge wa kigoma kusini kwa tiketi ya NCCR amefukuzwa ndani ya chama hicho na halmashauri ya chama hicho.
Kufuatia hali hiyo kwa kanuni za bunge,bw.Kafulila anaweza kupoteza kiti chake cha ubunge kama jitihada za busara hazitafanywa ndani ya NCCR ili kulinusuru jimbo lao,NCCR-mageuzi ilidhoofika baada ya mgogoro mwingine uliyowahi kutokea na kumfanya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mh.Mrema kutimkia TLP na kukiacha chama hicho kikiendelea kupoteza wanachama na mwelekeo wa kisiasa.
Chama hicho kimewahi kuwa tishio katikati ya miaka ya 90 na kuwa na wabunge wengi bungeni kuliko vyama vingine vya upinzani kwa upande wa bara.

No comments:

Post a Comment