BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, December 09, 2011

KIBAKA APEWA CHAI NA WANANCHI WENYE HASIRA.


Kibaka mmoja leo amekutana na wakati mgumu eneo la mabatini jijini Mbeya,kibaka huyo ambaye inasemekana amekuwa akiiba magunia ya mkaa mitaani,leo aliingia choo cha kike na kukutana na kichapo hicho

No comments:

Post a Comment