BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, December 05, 2011

ZANZIBAR HEROES YAFUNGASHA VIRAGO


Timu ya Zanzibar Heroes leo imeaga michuano ya kombe la chalenji baada ya kupokea kichapo cha bao 2-1 kutoka kwa Rwanda (Amavubi) kwenye mchezo wa robo fainali uliochezwa uwanja wa taifa jijini Dar es salaam,mchezo huo ulianza kwa kasi na Rwanda waliweza kutawala mchezo huo kwa vipindi vyote hasa kutokana na umahiri wa kiungo wa Rwanda Haruna Niyonzima kuwabana na kuwafunika viungo wa Zanzibar Heroes.

No comments:

Post a Comment