BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, December 05, 2011

SUDAN YAICHAPA BURUNDI 2-0 ROBO FAINALI YA CHALENJI

Timu ya taifa ya Sudan leo imekuwa timu ya kwanza kufuzu hatua robo fainali kwenye michuano ya kombe tusker chalenji cup baada ya kuwafunga timu ya taifa ya Burundi kwa magoli 2-0 kwenye mchezo uliochezwa leo mchana uwanja wa taifa Dar es salaam
  Mchezo mwingine utachezwa leo jioni kati ya Rwanda (amavubi) na Zanzibar heroes ukiwa ni mchezo mwingine wa robo fainali kwenye uwanja wa taifa.

No comments:

Post a Comment