BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, December 09, 2011

MIAKA 50 YA UHURU BADO ELIMU YA UCHANGIAJI DAMU HAIJAWAFIKIA WANANCHI VIZURI.


Dr.Emanuel Mbawala mwenye makazi yake jijini Mbeya,akiwa ni mmoja wa watu waliojitokeza kuchangia damu leo kwenye kituo cha damu salama nyanda za juu kusini kilichoko Mbeya,kulia kwake ni mfanyakazi wa kituo hicho akimpatia huduma nzuri Dr.Mbawala.

No comments:

Post a Comment