BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, December 01, 2011

TANZANIA BILA UKIMWI INAWEZEKANA


leo ni siku ya maadhimisho ya ukimwi duniani,ugonjwa ambao umekuwa ukiwasumbua watu wengi duniani inakadiriwa kuwa kuna watu zaidi milioni 34 wanaishi na maambukizi ya ugonjwa huo,inonekana nchi za kusini mwa jangwa la sahara ndizo zenye wagonjwa wengi,imekuwa zikifanyika jitihada mbali mbali kuhakikisha maambukizi ya ugonjwa huu yanapungua au kuutokomeza kabisa kwa kuwaelimisha watu.

No comments:

Post a Comment