BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, December 10, 2011

UGANDA BINGWA


Timu ya taifa ya Uganda leo imenyakua ubingwa wa Tusker challenge cup kwa mara ya pili mfululizo,baada ya kuwachapa Rwanda kwa mikwaju ya penati.
Timu hizo zililazimika kwenye mikwaju ya penati baada ya kucheza dakika 120 na matokeo kuwa 2-2,kwenye mikwaju ya penati Uganda walipata 3 na Rwanda 2.
Kwenye mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu timu ya Sudan imefanikiwa kuishinda Kilimanjaro Stars bao 1-0

No comments:

Post a Comment