BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, December 30, 2011

THIERY HENRY KURUDI ARSENAL

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Arsenal Thiery Henry anategemewa kutua kwenye klabu hiyo kwa muda wa miezi miwili akitokea Marekani ambako alienda kumalizia soka lake akitokea Hispania kwenye klabu ya Barcelona.

No comments:

Post a Comment