BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, December 08, 2011

KILIMANJARO STARS NJE

Timu ya Kilimanjaro stars leo imetupwa nje ya michuano ya Tusker Chalenji baada ya kufungwa bao 3-1 na Uganda Cranes,mchezo huo umechezwa kwa dakika 120,baada ya timu hizo kumaliza dakika 90 zikiwa zimefungana 1-1,Uganda waliweza kuzitumia vyema dk 30 za nyongeza na kujipatia mabao mawili na hadi mwisho wa Uganda 3 Kili 1

No comments:

Post a Comment