BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, December 04, 2011

UWANJA WA NDEGE MWANZA WAKUMBWA NA MAFURIKO


Habari zilizotufikia hivi punde,uwanja wa ndege wa Mwanza umekumbwa na mafuriko kutokana na mvua kubwa iliyonyesha mkoani humo,na hivyo kusababisha ndege kushindwa kuruka ikiwemo ya waziri mkuu aliyekuwemo mkoani humo.

No comments:

Post a Comment