KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Sunday, December 04, 2011
UWANJA WA NDEGE MWANZA WAKUMBWA NA MAFURIKO
Habari zilizotufikia hivi punde,uwanja wa ndege wa Mwanza umekumbwa na mafuriko kutokana na mvua kubwa iliyonyesha mkoani humo,na hivyo kusababisha ndege kushindwa kuruka ikiwemo ya waziri mkuu aliyekuwemo mkoani humo.
No comments:
Post a Comment