BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, December 30, 2011

HALIMA MCHUKA KUZIKWA LEO

Mh.Rais wa jamhuri ya muungano Dr.Jakaya Kikwete akiwa na baadhi ya ndugu wa marehemu Halima Mchuka kuuombea dua mwili wa marehemu
Marehemu alikuwa mfanyakazi wa TBC mpaka inamfika,alifariki jana 29| Dec 2011,MUNGU AIWEKE ROHO YAKE MAHALI MEMA PEPONI.


Mh. Rais Jakaya Kikwete akitoa heshima zake za mwisho na kuuaga mwili wa aliyekuwa mtangazaji maarufu wa TBC  Mchuka.Halima


No comments:

Post a Comment