BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, August 06, 2011

BIASHARA YA NDIZI TUKUYU.


Wafanyabiashara ya ndizi wakionekana wakisubiri usafiri kwa ajili ya kusafirisha ndizi kupeleka maeneo tofauti,biashara hiyo inaonekana kufanywa na wanawake kuliko wanaume eneo la Tukuyu na hivyo kusababisha soko lake liwe dogo,kufunguliwa kwa uwanja wa ndege wa Songwe kutaleta changamoto kwa wanaume nao kujiingiza kwenye biashara hiyo ambayo wamekuwa kama wanahidharau.

No comments:

Post a Comment