BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, August 11, 2011

UKOSEFU WA MAFUTA MBEYA WASABABISHA SHIDA YA USAFIRI


Kukosekana kwa mafuta kumesababisha watu kuchelewa maeneo yao ya kazi na wengine kulazimika kutembea kwa miguu,kutokana na baadhi ya daladala kushindwa kutoa huduma ipasavyo kutokana na vituo vya mafuta kuishiwa mafuta.

No comments:

Post a Comment