BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, August 10, 2011

MACHAFUKO UINGEREZA YATIBUA MCHEZO WA TIMU YA TAIFA.


Machafuko yaliyokuwa yakiendelea nchini Uingereza yamesababisha mechi ya kirafiki kimataifa kati ya Uingereza na Uholanzi kufutwa na baadhi ya michezo ya kombe la Carling kuahirishwa.

No comments:

Post a Comment