BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, August 16, 2011

CHANGIA DAMU OKOA MAISHA.


Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Agustivo High School wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma,wakiwa na mfanyakazi wa kitengo cha Taifa cha damu salama kanda ya nyanda za juu kusini bw.Fred Malagi wakati wa zoezi la kuchangia damu lililofanyika shuleni hapo mapema leo.

No comments:

Post a Comment