BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, August 22, 2011

MAMBO YA KYELA

Hili ni eneo la Kyela mjini ambalo ni maarufu kwa uuzaji wa mchele safi na wanawake wenye uwezo mkubwa wa kuendesha baiskeli kwa umbali mrefu
Huu ni mkusanyiko wa baiskeli za wanafunzi waliopaki eneo la shule wilayani Kyela

 

wakina mama wakiwa na baiskeli zao




No comments:

Post a Comment