BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, August 14, 2011

MANCHESTER YAANZA VIZURI


Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza (EPL) leo wameanza michuano hiyo vizuri baada ya kuwafunga timu ya West ham 2-1,Man walikuwa wa kwanza kupata bao dk 14 kupitia kwa Wayne Rooney na baadaye Long aliisawazishia Westham na kufanya matokeo kuwa 1-1 hadi mapumziko,kipindi cha pili Man walifanikiwa kupata bao la ushindi dk 81 kupitia kwa Ashley Young aliyepiga mpira na kuwababatiza mabeki wa Westham na kujaa wavuni

No comments:

Post a Comment