BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, August 14, 2011

MASHINDANO YA KUHIFADHI KURAAN TUKUFU YAFANA DAR


Baadhi ya mashekhe na umati wa waislamu uliofurika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee hall jijini Dar-es-salaam,kushuhudia mashindano ya kuhifadhi Kuraan Tukufu yaliyoshirikisha wanafunzi wa madrasa toka bara na visiwani,ambayo mshindi wa kwanza alikuwa Khalid Omar Mbarouk(15) kutoka madrasa ya Madrasat An-nujum ya Temeke na kujishindia pikipiki aina ya Bajaj.

No comments:

Post a Comment