BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, August 14, 2011

KITUO CHA MABASI NJOMBE VUMBI TUPU


Pamoja na uchumi mkubwa wa Njombe,kituo cha mabasi bado kinahitaji ukarabati wa hali juu na kufanya kiendane na hadhi ya wilaya hiyo ambayo inategemewa kupewa hadhi ya mkoa

No comments:

Post a Comment