BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, August 07, 2011

RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI.


Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete,amemtumia salamu za rambirambi mkuu wa majeshi ya ulinzi nchini,Jenerali Davis Mwamunyange.kufuatia kifo cha Luteni Jenerali Silas Peter Mayunga kilichotokea jana katika hospital ya Apollo,mjini New Dhel,India.Mzee Mayunga amefariki akiwa na umri wa miaka 71.

No comments:

Post a Comment