BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, August 03, 2011

MAJENGO YA ILIYOKUWA HOSPITAL YA UKOMA MAKETE-KISONDELA YAMETELEKEZWA TOKA 2005

Haya ni majengo ya iliyokuwa hospital ya ukoma  Makete Kisondela,Rungwe yakiwa kwenye hali mbaya baada ya hospital hiyo kufungwa rasmi mwaka 2005 na kufanya majengo kubaki yakiwa hayatumiki mpaka leo.
   Majengo haya yangeweza kutumika kama shule au kituo cha afya kwenye kata husika lakini yameachwa yakiharibika
Sehemu ya ndani ya majengo hayo ambayo haitumiki kwa sasa

Jengo likiwa limezungukwa na nyasi pande zote


No comments:

Post a Comment