BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, August 14, 2011

UJENZI WA BARABARA YA SONGEA-MBINGA WAENDELEA KWA KASI.


Ujenzi wa barabara ya Songea-Mbinga kwa kiwango cha lami,unaendelea kwa kasi na kuleta matumaini kwa wakazi mkoa huo kutokana na wilaya ya Mbinga kuwa na vyanzo vingi vya mapato.
Kukamilika kwa ujenzi kutawanufaisha wakazi wa mkoa wa Ruvuma na maeneo jirani waliokuwa wakitumia muda mrefu kusafiri katika maeneo hayo yenye biashara za mazao na samaki kutoka ziwa Nyasa.

No comments:

Post a Comment