BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, August 28, 2011

HII NDIYO KYELA BWANA


Kama kuna wilaya ambayo wanafahamu matumizi na umuhimu wa baiskeli hatuwezi kuacha kuitaja wilaya ya Kyela,kwenye picha ni baadhi ya baiskeli ambazo zimeegeshwa eneo la shule na bado ukipita mitaani wakina utawakuta wakiendesha na mtoto mgongoni,ukiuliza safari ya wapi?unajibiwa anaenda kliniki au kabeba bonge la mzigo

No comments:

Post a Comment