BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, August 12, 2011

KILIMO CHA KIANGAZI MBEYA


Kutokana na hali na hewa kuwa nzuri katika baadhi ya maeneo ya mkoa wa Mbeya,sehemu nyingine wanalima mahindi mara mbili kwa mwaka kama inavyoonekana eneo la Maganjo eneo la Mbeya vijijini

No comments:

Post a Comment